Bongo5 ExclusivesBurudaniDiamond PlatnumzHabariMahojiano

Dulla Makabila: Nilimkosea Diamond naomba anisamehe

Akiongea na wanahabari siku ya jana katika viwanja vya maonyesho ya Sabasaba msanii huyo wa Singeli @dullamakabila ameeleza namna alivyotunga wimbo kwa ajili ya kumuomba @diamondplatnumz msamaha.

“Najua nilimkosea @diamondplatnumz na kabla ya kutoa wimbo niliomba ushauri ili isijekuonekana kama nakifanya naomba msamaha ili nitoe wimbo”

“Najua @majizzo atakasirika ila sina tatizo naye” aliongeza @dullamakabila

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents