Michezo
Exclusive: Creez Flavors afunguka sababu ya kuzikataa Simba na Yanga

CREEZ FAVORS ATOBOA SIRI YA KUZIKATAA SIMBA NA YANGA
Mtengeneza maudhui katika upande wa mpira wa Miguu @creez_favors akiwa na mahojiano na Bongofive amefunguka kwa mara ya kwanza sababu ya kutokuziongelea Simba na Yanga katika kurasa zake za mitandaoni.
Kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa Youtube bongofive
Imeandaliwa na @witnessflavian24




