Burudani
Exclusive na Dr Kumbuka: Mke wa ndoa, Baba wa watoto 5 (Video)
kumiliki nyumba 5 Dar, ajinunulia Range Rover mpya
Bongo5 wiki hii imefanya mahojiano na MC na Mtangazaji mwenye mafanikio @drkumbuka_majaliwa ambapo amefunguka mengi usiyoyajua kuhusu maisha yake.
Amefunguka kuhusu ndoa yake, pamoja na familia ya watoto 5 ambapo mtoto wake wa kwanza yupo kidato cha nne.
Amesema mengi anayoyafanya mtandaoni yanawashangaza watoto wake.
Kuangalia full interview tembelea YouTube ya Bongo5
Written and edited by @yasiningitu