Bongo5 Exclusives
Exclusive: Nay wa Mitego aelezea jinsi performance yake ya leo Mbagala ilivyosababisha vurugu
Show ya Airtel Yatosha iliyofanyika Mbagala Zakhem, Temeke jijini Dar es Salaam imelazimika kuishia njiani baada ya kuzuka vurugu kubwa.
Fujo hiyo ilianza baada ya Nay kurusha nguo zake na mkanda wake kuwatupia mashabiki walioanza kuugombania. Vurugu hizo zimesabisha watu kuumia na wengine kuibiwa.
Msikilize hapa.