BurudaniHabari

Fahamu kiasi wanachotoza Jay Z na Kanye West kufanya collabo

Katika orodha iliyotolewa kwa rapa wa Marekani wanaochaji kiasi kikubwa cha fedha ili uwashirikishe, Wakongwe wawili Jay Z pamoja na Kanye West imeelezwa kuwa wao wanachozingatia ni heshima na msanii husika pia mahusianno lakini kikubwa zaidi wanazingatia kile ulichoimba kwa maana kwamba ubora wa wimbo wako.

Jay Z kweye mahojianno yake na Kevin Heart kwenye ‘Hart to Heart’ ajibu swali hilo na kusema yeye hatozi hata senti moja kwa msanii yoyote akitaka kumshirikisha bali annachjozingatia ni heshima na msanii husika lakini pia aina ya wimbo anaoshirikishwa.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents