Baada ya msanii wa muziki @ommydimpoz kuonekana mtandaoni akimkataa mzee Nyembo kwamba sio baba yake, mzee huyo kwa uchungu amefunguka mengi.
Mzee huyo amefunguka jinsi mtoto huyo alivyolelewa na bibi yake baada ya Mama yake mzazi kufariki.
Baada ya msanii wa muziki @ommydimpoz kuonekana mtandaoni akimkataa mzee Nyembo kwamba sio baba yake, mzee huyo kwa uchungu amefunguka mengi.
Mzee huyo amefunguka jinsi mtoto huyo alivyolelewa na bibi yake baada ya Mama yake mzazi kufariki.