Akipiga stori na @el_mando_tz @fred_vunjabei ameeleza kuwa sababu za @mwijaku kusema hivo kuwa walipisha kauli.
@mwijaku ana tabia ya kuomba hela kabla ya kazi hivyo alivyoniomba hela nikamwambia amalize kwanza kazi niliyomwambia afanya akakasirika akaenda kuongea hayo maneno”
Alichukua milioni 3 na sio laki moja kama alivyosema”