Michezo

GB 64 amwaga sifa kwa Hans Rafael, Simba msimu huu Bingwa Shirikisho (Video)

GB 64: SIMBA TUNA JAMBO LETU MSIMU HUU

Shabiki nguli wa klabu ya Simba leo akiwa na Bongo5 ametamba kwamba kwa msimu huu wanajambo lao kama Simba anadai kuwa huwezi sajili mchezaji kama Mpanzu ukawaza kuwa nafasi ya Pili pia ameongeza na kusema kuwa msimu huu Ubingwa wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika Simba ndiye atakuwa Bingwa maana ana kikosi kilicho kamili kwa ajili ya Msimu huu pia amesifia Uongozi wake n kusema ameridhishwa na mwenendo na utendaji wa Viongozi hao katika klabu ya Simba

Kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongo5

 

 

 

 

Imeandikwa na kuandaliwa na @Johnbosco_mbanga & @kashmill_99

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents