HabariMichezo

GB 64 apokea Zawadi kutoka Uingereza, Yanga ni kama hawaeleweki wanachotaka

GB 64: YANGA NI KAMA HAWAELEWEKI WANACHOKITAKA

Shabiki Nguli wa klabu ya Simba Maarufu kama GB 64 leo akiwa na Mahojiano na Bongo5 amedai kuwa wapinzani wao Yanga ni kama hawajui nini wanachokitaka katika Msimu huu.

Kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongo5

Imeandikwa na kuandaliwa @samirkakaa & @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents