HabariMichezo

GB 64 atangaza hali ya hatari kwa Yanga

Shabiki Nguli wa klabu ya Simba maarufu kama GB 64 akiwa na Mahojiano na Bongo5 ametangaza haki ya hatari kwa timu ya Yanga na kudai kuwa wakati huu wenyewe Simba wamejipanga kuondoka na makombe yote wanayoshindana.

Je kwa kauli hii ya GB 64 unaona Simba akichukua Makombe yote anayoshiriki??

bonyeza link hapa kuangalia video kamili:

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents