Burudani

George Job akubali uwezo wa Kocha mpya Simba, awakataa Yanga

Mchambuzi wa mpira wa miguu @georgejob_gj amefunguka juu ya nafasi za klabu ya Simba na Yanga kwenye michezo ya klabu Bingwa Afrika itakayopigwa

Jumamosi pamoja na Jumapili.

Kuangalia video Kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongo5

Imeandikwa na kuandaliwa @witnessflavian24 & Johnbosco_mbanga

 

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents