Michezo

Gerson Msigwa aumia na matokeo ya Simba

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari utamaduni na michezo Gerson Msigwa anadai siku ya leo iliandaliwa pesa nyingi ya goli la mama kwa kuamini Simba wangeshinda goli nyingi lakini Nzingizini Hotspurs wamemshangaza.

Kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa Youtube bongofive

Imeandikwa na kuandaliwa @witnessflavian24 & @johnbosco_mbanga

 

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents