Burudani
Gigy Money na Saraphina wahoji namna AudioMack inavyoweza kubadilisha maisha ya wasanii Tanzania
Msanii wa muziki @gigy_money_og pamoja na @saraphina__tz ni moja kati ya wasanii ambao walihudhuria workshop ya mtandao wa kuuza nyimbo za wasanii @audiomackafrica kwa ajili ya kuona fursa mbalimbali ambazo zinapatikana kupitia platform hiyo kubwa ya muziki duniani.
Tukio hilo la aina yake limefanyika Hyatt Hotel jijini Dar Es Salaam na kuwakutanisha wadau mbalimbalu wa muziki nchini Tanzania.
Kuangalia matukio yote tembelea YouTube ya BongoFive
Written and edited by @yasiningitu