Michezo

Gody Yanga apagawa na Kundi la Yanga CAF (video)

Shabiki Nguli wa klabu ya Yanga maarufu kama Gody Yanga Leo baada ya Droo ya hatua za Makundi ya klabu Bingwa Afrika kufanyika na Yanga kuangukia kundi A ametamba na kutoa tathimini juu ya wapinzani wanaoenda kukutana nao na kuahidi Yanga kumaliza kinara kwenye Kundi hilo.

Kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongo5

 

Imeandikwa na kuandaliwa na @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents