HabariMichezo

Goli la Aishi Manula dhidi ya Mbeya City angefungwa mwingine!!(+Video)

Ally Mzuri amesema kuwa goli alilofungwa kipa wa Simba SC, Aishi Manula kama angefungwa mlindalango wa timu nyingine lingekuwa shida kubwa na pengine hata kuhusishwa na kupokea chochote kitu, lakini kwakuwa kafungwa Manula watu wamechukulia powa.

Mchambuzi huyo wa soka chipukizi @allimzuri20 ameyasema hayo kupitia #B5Sports ya Bongo 5.

Host @fumo255 and edited by @sameeer2_

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents