HabariMichezo

Guardiola awapongeza Man United kwa Carabao Cup

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amewapa hongera majirani zake Manchester United kwa kutwaa taji la Carabao Cup.

Imepita miaka sita bila Man United kushinda taji huku Guardiola akiwa na Man City wakishinda makombe tisa yakiwemo ya Premier League na League Cup.

”Hongera kwa United kushinda Carabao Cup pamoja na Newcastle, wameonyesha mchezo mzuri.”- Guardiola ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents