Burudani

H Baba adai WCB maisha ni mazuri (Video)

“Naenda kumalizia nyumba yangu”

 

Msanii wa muziki @h.baba_ amefunguka jinsi maisha yake yalivyobadilika baada ya kuanza kufanya kazi na @diamondplatnumz .

Amedai amekuwa akishauriwa mambo mengi na muimbaji huyo ambaye kwa sasa ni mfanyabiashara mkubwa nchini Tanzania.

Amedai hivi karibuni amesainu dili la mamilioni pesa ambayo anaenda kuwekeza kwenye biashara pamoja na ujenzi wa nyumba yake nyingine.

Written and edited by @yasiningitu

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents