Muziki
Harmonize na Rayvanny wahamishia ugomvi wao studio, wote watoa ngoma hizi (+ Audio)
Baada ya Harmonize kuachia ngma yake inayoitwa vibaya akizungumzia maisha aliyopitia na Kajala ambaye tayari wameachana, asubuhi ya leo Rayvanny naye ameachi ngoma mpya ya Nyamaza ikionyesha kabisa kumzungumzia Harmonize.