Muziki

Harmonize na Rayvanny wahamishia ugomvi wao studio, wote watoa ngoma hizi (+ Audio)

Baada ya Harmonize kuachia ngma yake inayoitwa vibaya akizungumzia maisha aliyopitia na Kajala ambaye tayari wameachana, asubuhi ya leo Rayvanny naye ameachi ngoma mpya ya Nyamaza ikionyesha kabisa kumzungumzia Harmonize.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents