Hawa ndio washindi wa tuzo za ‘The Headies 2015’ za Nigeria zilizotolewa Jan 1, 2016
Tuzo za The Headies za nchini Nigeria zilizokuwa zitolewe December 30, 2015 zilisogezwa na kutolewa January 1, 2016 jijini Lagos.
Katika tuzo hizo kulikuwa na kipengele kimoja kwaajili ya wasanii wa nje ya Nigeria, ‘African Artist’ ambapo Diamond Platnumz alikuwa akiwania na Cassper Nyovest, AKA na Uhuru wa Afrika Kusini, pamoja na Sarkodie wa Ghana. Hata hivyo matokeo ya kipengele hicho hayajawekwa.
Ifuatayo ni orodha ya washindi wa tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya kumi:
Headies Hall of Fame
2Face Idibia
Best Street-Hop Artiste
Olamide (‘Bobo’)
Best Pop Single
‘Godwin’ by Korede Bello
Best Male Performance
Timi Dakolo (‘Wish me well’)
Best R&B single
‘Wish me well’ by Timi Dakolo
Best rap single
‘King kong’ by Vector
Best Vocal Performance (female)
Aramide (‘Iwo Nikan)
Best Ragga/dancehall single
‘German juice’ by Cynthia Morgan
Best Music Video
‘Katapot’ (by Reekado Banks, video shot by Unlimited L.A)
Best Collaboration
‘Local Rappers’ – Reminisce ft Olamide, Phyno & StormRex
Best Rap Album
“Chairman” by M.I
Best Music Producer
Legendary Beatz (‘Ojuelegba’)
Lyricist On The Roll
Vector
Next Rated
Reekado Banks
Revelation of The Year
Yemi Alade
Recording of the year
‘Wish me well’ – Timi Dakolo
Best Alternative Song
‘Sade’ – Adekunle Gold
Special Recognition Award
Don Jazzy
Best Pop/R&B Album
AYO – Wizkid
Artiste of The Year
Olamide
Song of The Year
‘Ojuelegba’ – Wizkid
Rookie of The Year
YCee