Burudani

Hawa ndio washindi wa tuzo za ‘The Headies 2015’ za Nigeria zilizotolewa Jan 1, 2016

Tuzo za The Headies za nchini Nigeria zilizokuwa zitolewe December 30, 2015 zilisogezwa na kutolewa January 1, 2016 jijini Lagos.

Headies-2015

Katika tuzo hizo kulikuwa na kipengele kimoja kwaajili ya wasanii wa nje ya Nigeria, ‘African Artist’ ambapo Diamond Platnumz alikuwa akiwania na Cassper Nyovest, AKA na Uhuru wa Afrika Kusini, pamoja na Sarkodie wa Ghana. Hata hivyo matokeo ya kipengele hicho hayajawekwa.

Ifuatayo ni orodha ya washindi wa tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya kumi:

Headies Hall of Fame
2Face Idibia

Best Street-Hop Artiste
Olamide (‘Bobo’)

Best Pop Single
‘Godwin’ by Korede Bello

Best Male Performance
Timi Dakolo (‘Wish me well’)

Best R&B single

‘Wish me well’ by Timi Dakolo

Best rap single
‘King kong’ by Vector

Best Vocal Performance (female)

Aramide (‘Iwo Nikan)

Best Ragga/dancehall single

‘German juice’ by Cynthia Morgan

Best Music Video
‘Katapot’ (by Reekado Banks, video shot by Unlimited L.A)

Best Collaboration
‘Local Rappers’ – Reminisce ft Olamide, Phyno & StormRex

Best Rap Album
“Chairman” by M.I

Best Music Producer
Legendary Beatz (‘Ojuelegba’)

Lyricist On The Roll
Vector

Next Rated
Reekado Banks

Revelation of The Year
Yemi Alade

Recording of the year

‘Wish me well’ – Timi Dakolo

Best Alternative Song
‘Sade’ – Adekunle Gold

Special Recognition Award

Don Jazzy

Best Pop/R&B Album
AYO – Wizkid

Artiste of The Year
Olamide

Song of The Year
‘Ojuelegba’ – Wizkid

Rookie of The Year
YCee

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents