Uncategorized

Hawa ndiyo wachezaji bora Afrika kwa mwaka 2018 akiwemo beki kisiki Koulibaly pamoja na golikipa wa Uganda

Fowadi matata kutokea nchini Misri,  Mohamed Salah amefanikiwa kunyakuwa tuzo ya mchezi ji bora  Afrika  kwa mwaka 2018 huku  Pierre-Emerick Aubameyang pamaoja na Sadio Mane wakitajwa kuwa fowadi matata wa Africa.

Katika nafasi ya viungo matata Thomas Partey, Naby Keita na Riyad Mahrez wametajwa kuwa ndio viungo bora wa mwaka 2018.

Na kwa upande wa mabeki, Eric Bailly, Serge Aurier, Medhi Benatia pamoja na Kalidou Koulibaly kutoka Senegal ambapo wametajwa kuwa  wachezaji bora katika nafasi ya ulinzi.

Nafasi ya mlindalango imechukuliwa na kipa maarafu kutokea nchini Uganda  Denis Onyango ambaye anaitumikia klabu ya Mamelodi Sundowns ya nchini South Africa.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents