Fahamu
Hizi ndio nauli za mabasi ya kwenda mikoani zilizotolewa na LATRA
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini ( LATRA) imetangaza kuanzia leo kuanza kutumika kwa nauli mpya za mabasi na daladala badala ya May 14,2022 kutokana kupanda kwa bei ya mafuta.