Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Ibraah aachia album yake ‘The King of New School’
The waiting is Over, usiku wa saa sita Chinga kutoka @kondegang @ibraah_tz rasmi aliiachia album yake mpya ya THE KING OF NEW SCHOOL.
Album hiyo yenye nhoma 17 utawakuta wakali kama @bellachristian1 @wale #Bracket AV, L.A.X na wengine.
Hii ni album ya kwanza kwa @ibraah_tz tangu aanze muziki wake na pia ni msanii wa pili kutoka @kondegang kutoa album baada ya @harmonize_tz ambaye tayari ana album mbili ndani ya miaka mitatu, ambazo ni AFROEAST na HIGH SCHOOL.
Kwenye album hii ya @ibraah_tz huenda wengi walitarajia kumuona @harmonize_tz lakini hayupo kwenye album ya Chinga.
Album hii ipo kwenye platform zote za muziki na kama unapata tabu kuipata ingia kwenye bio yake link amekuwekea pale.