BurudaniHabari

Ibraah atangaza kukutana na mashabiki Ijumaa baada ya miezi 6

Baada ya miezi 6 bila ngoma rasmi sasa staa wa muziki kutoka lebo ya Konde Gang @ibraah_tz ametangaza kuachia wimbo.

Kupitia Instagram yake @ibraah_tz ameweka wazi kuwa ataachia wimbo huo Ijumaa hii ya Tarehe 15/9/2023.

Siku kadhaa nyuma @ibraah_tz alionekana aliwa location aki-shuti video.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents