BurudaniHabari

Issa Azam: Diamond hata tuwe Machawa 1000 hela yake haishi (+Video)

”Mimi ndiyo kijana ambaye huwa nawashauri watu, nimemshauri H Baba, nikamshauri Mwijaku kwamba njooni huku Diamond hata tuwe Chawa 1000 hela yake haishi.”- Maneno ya Issa Azam

Issa Azam ”Ukiona mtu anaumizwa halafu anakula buyu huyo mtu muogope sana atakuua. Mimi timu Kajala sio leo kuanzia miaka hiyo Mungu amjaalie Kajala kila mipango anayopanga iende sawa sawa na wala mtu asimshtukie.”

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents