BurudaniMuziki

Jaivah Nigeria anafanya show akitaka

Msanii wa muziki kutoka kiwanda cha Bongo Fleva @jaivah anazidi kuchimbia mizizi katika Taifa la Nigeria kwenye upande wa Burudani.

Baada ya wimbo wake wa KAUTAKA kumfungulia milango Nigeria watu walihisi labda hataweza kufanya kazi zingine zitakazopenya Nigeria.

Jamaa ameendelea kufanya Vizuri Nigeria kupitia ngoma zake zingine na yeye ameamua kuwekeza muda wake kwenye Taifa lile ambalo ndio linaongoza kwa biashara ya muziki Afrika.

Kwenye hii video anatumbuiza ngoma yake ya NAOGOPA MAPENZI

Valentine ya mwaka 2025 @jaivah kakiwasha tena Nigeria na inaelezwa sio tu Valentine mpaka sasa bado anaendelea kupiga Show kule.

Hapa ni katika Jiji la Benin Edo State lililopo Nigeria na mwamba amekiwasha kama kawaida yake.

Neno moja kwa @jaivah

Credit by @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents