Burudani

Jay Z hawezi kuonekana sasa ana majanga mengi – 50 Cent

Rapa 50 Cent anaendelea kumkandia Jay Z ambaye ni rafiki wa karibu wa P Diddy ambaye kwa sasa anaekabiliwa na mashtaka ya kingono kuhusu unyanyasaji wa kijinsia.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram anasema Jay Z hatotoka nje mpaka matatizo ya P Diddy yatulie kwa kuhofia yanayomsibu msanii huyo.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Imeandikwa na Mbanga B.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents