Burudani

Jeuri ya Chiefgod love afuata nyayo za Davido

Mfanyabiashara @chief_godlove ameamuwa kufuata nyayo za Mwanamuziki kutoka Nigeria @davido baada ya kununua gari la kifahari aina ya Mercedes Benz Maybach S- Class ambalo linathamani ya kuanzia $194550 sawa na Tsh Milion 530.

Gari hilo la kifahari pia Staa kutoka Nigeria Davido hivi karibuni aliongeza kwenye sehemu ya magari yake ya kifahari anayoyamiliki.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents