HabariMichezo

Julian Alvarez mbadala wa Mbappe Real Madrid

Real Madrid inadaiwa kumfikiria Mchezaji wa Manchester City, Julian Alvarez kama mbadala wa Kylian Mbappe endapo watashindwa kumsajili staa huyo wa PSG dirisha lijalo la usajili.

Licha ya kuwa Mbappe atasalia kama chaguo namba moja, lakini Madrid imempendekeza Mshambuliaji huyo wa City kama mbadala.

Kinda huyo mwenye umri wa miaka 23, amekuwa akianza kwenye mechi za hivi karibuni na kubahatika kuifungia Man City magoli.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents