Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Juma Lokole afunguka Diamond kuhusishwa kimapenzi na Paula

Mtangazaji wa WasafiFM Juma Lokole ni mtu wa karibu sana na Paula lakini pia Diamond ni Boss wake, amezungumza na @el_mando_tz juu ya Boss wake Diamond kuhusishwa kutembea na Paula haliyakuwa alikuwa na Rayvanny.

Juma Lokole pia ameweka wazi kuwa kwa sasa Tanzania Sweetheart ni Paula na taji hilo ameachiwa na Wema Sepetu, ameonngeza Wema Sepetu amestaafu na Watanzania wamemvika Paula taji hilo.

Lokole ameulizwa kuhusu ugomvi wa Rayvanny na Paula na kuleza kuwa kwake yeye kama mtu wa karibu wa Paula amefurahi sana Paula kuachana na Rayvanny maana Rayvanny alitaka kumfanya Paula kama Wife Material wakati Paula sio mambo yake.

“Hata ule ugomvi wao mimi ndio nnilikuwa na simu ya Paula na nilikuwa naandika mimi Paula alikuwa ananipa za ndaani halafu mimi natafuta cha kuandika, alikuwepo mimi, Marioo na Paula mwenyewe”

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents