BurudaniHabari

Kajala: Sijadanganya umri, nina miaka 40

Siku ya jana @kajalafrida alibahatika kupewa Ubalozi kwenye duka la Vitambaa la @rehemah0 linalopatikana maeneo ya Tandika, Dar Es Salaam, Kajala baada ya ubalozi huo aliongea mengi sana na wana habari kuhusu maisha yake.

Mbali ya hilo @kajalafrida amezungumzia miaka yake ambapo annasema hajadanganya chochote ana miaka 40 na pia sababu ya kupost picha zilizozua maneno mengi mtandaoni.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents