Bongo5 ExclusivesBurudaniDiamond PlatnumzHabariMahojiano
Kayumba: Sijam-follow Diamond kwa sababu wasanii wakubwa wapo wengi Tanzania
Staa huyo wa Bongo Fleva @kayumbaasosie ametoa maoni yake kuhusu kauli ya @diamondplatnumz kuwa siku akifa bendera ya Tanzania haitakuwepo kwenye sehemu fulani hasa kwenye mambo ya kimuziki. “Mimi Namuombea asife”
Mbali na hilo ameeleza sababu za kuto-follow baadhi ya wasanii wakubwa Tanzania mfano @diamondplatnumz