FahamuHabari

Kelele za Muziki ni uharibifu wa Mazingira, wenye BAR wazingatie vipimo vilivyowekwa

Kufuatia sakata la BAR kufungiwa kwa siku 14 kutokana na kelele za muziki zinazopigwa katika maeneo hayo na NEMC, Mwanaharakati wa Mazingira azungumza haya.

Akiongea na wanna habari Mwanaharakati huyo aliyejitambbulisha kwa jina la Philip Wangwe ameeleza kuwa NEMC walivyofanya wapo sahihi kabisa kwani Kelele za BAR ni uharibifu wa mazingira.

Ameongeza kuwa kupiga muziki BAR kuna vipimo maalum ambavyo Serikali hutoa na inadibi vizingatiwe.

Wangwe ameongeza kuwa kuna namna nyingi ya kupunguza kelele za BAR mfano kuvaa headphone masikioni kama alivyofanya Kalito.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents