Habari

Kilio kikubwa cha Watanzania mifuko mitupu – Rais Samia Suluhu

“Makampuni yanafungwa Tanzania sio uongo na wanaondoka uchumi wetu unapungua, ajira zinapungua na mzunguko wa pesa unapungua na hiki ndio kilio kikubwa cha Watanzania mifuko mitupu, mkalishughulikie hilo” Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania.

 

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents