Burudani
Kim Kayndo IT wa Diamond bosi wa AudioMack Tanzania
Awataka wasanii kumtafute wapate jinsi za kunufanika muziki wao
Muziki wa Tanzania inaendelea kukuwa kila siku ambayo Jumamosi @audiomackafrica imesema Tanzania ni namba 3 kwa matumizi makubwa ya mtandao huo wa muziki Afrika.
Nafasi za juu inashikwa na Nigeria pamoja na Ghana.
Bodi wa AudioMack Tanzania @kimkayndo ambaye pia ni IT wa Diamond, amewataka wasanii kuchangamkia fursa kuupeleka muziki wao Kimataifa kirahisi kupitia mtandao huo mkubwa duniani.
Kuangalia matukio yote tembelea YouTube ya BongoFive
Written and edited by @yasiningitu