Michezo
Kipa wa Azam aongea kwa machungu baada ya kuibamiza Simba leo hii

ZUBERI FOBA: MASHABIKI WASITUKATIE TAMAA AZAM NI TIMU BORA
Kipa wa klabu ya Azam aliyeanza siku ya Leo golini Zuberi Foba amewaomba mashabiki na wadau wa soka kuwa wasiwakatie tamam kwani Azam bado ni timu bora.
Kuangalia video kamili tembele kurasa wa Youtube Bongofive
Imeandaliwa na @witnessflavian24 na @johnbosco_mbanga




