Michezo
Klabu ya Al ahly kutoka Misri tayari imetua Tanzania kuikabili Simba (+ Picha)
Klabu ya @alahlyegypt kutoka Misri tayari imetua Tanzania 🇹🇿 kwa ajili ya mchezo wao na @simbasctanzania Michuano ya klabu bingwa barani Afrika siku ya Jumanne tarehe 23/2/2021.