Roberto Martinez amethibitisha kuwa sio kocha tena wa timu ya taifa ya Ubelgiji baada ya kuchaga mashindano ya Kombe la Dunia Qatar.
Ubelgiji imetolewa kwenye mashindano hayo baada ya sare 0-0 dhidi ya Croatia.
Morocco imeongoza kundi hilo la F ikiwa na point 7 wakati nafasi pili Croatia wakiwa na alama 5 na Ubelgiji 4 nafasi ya tatu.