HabariMichezo

Kocha wa PSG hafukuzwi

Imeripotiwa kuwa Klabu ya Paris Saint-Germain haina mpango wa kumtimua Kocha wake, Christophe Galtier licha ya kutolewa UEFA Champions League.

Hata hivyo, Galtier amepoteza ushawishi ndani ya ya kikosi cha PSG.

Mambo yalianza kumuendea mrama mara baada ya kupoteza mbele ya Bayern Munich in kwenye Michuano ya Champions League Jumatano usiku.

PSG imejaa mastaa kama Messi, Neymar, Mbappe na wengine wengi lakini chini ya Kocha, Galtier imeshindwa kutimiza ndoto za Ubingwa wa Champions League.

Imeandikwa na @fumo255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents