Msanii wa muziki wa Congo @koffiolomide_officiel ametua nchini mapema leo asubuhi kwaajili ya Tamasha ambalo litafanyika Mlimani City Dar Es Salaam.
Mkongwe huyo wa rhumba amedai aliongea na waandaji wa tamasha hilo kupunguza bei za viingilio ili kila Mtanzania apate fursa ya kupata burudani.