Michezo

Lakred atua kambini Misri

Mlinda Mlango wa klabu ya Simba Raia wa Morocco Ayoub Lakred amewasili katika Kambi ya Klabu ya Simba iliyopo nchini Misri inayojiandaa na msimu mpya 2024/2025.

Lakred anatazamiwa kuchukua nafasi ya Aishi Manula anaetajwa kutimkia Klabu ya Matajiri wa Chamanzi Azam FC.

Ayoub Lakred hakuongozana na Msafara wa Simba uliotoka na kikosi cha Simba Jijini Dar es Salaam.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents