Michezo

Leo ndio leo hukumu ya Simba Kimataifa, Mashabiki wazidi kuingia Uwanjani

Ikiwa leo ni siku ya mchezo baina ya Simba dhidi ya Nsingizini kutoka nchini Eswatini mashabiki na wadau mbalimbali wa soka wamewasili katika viunga vya Uwanja wa Taifa nchini Tanzania.

Ikumbukwe Simba mpaka sasa tayari yupo mguu mmoja ndani huku matokeo ya aina yoyote yale isipokuwa kufungwa zaidi ya goli 3-0 yatamfanya afuzu kwenda hatua ya makundi.

 

 

kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa Youtube Bongofive

 

https://youtu.be/8_2mNTrF7dw

 

Imeandikwa na kuandaliwa @johnboscombang

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents