Burudani

Leonardo atoboa siri kushirikiana na Harmonize na Diamond

Akizungumza na Bongo5 tv Mchekeshaji @laughs_on_leonardo ameeleza namna anavyoshirikiana na mastaa wakubwa akiwemo @diamondplatnumz pamoja na @harmonize_tz ikiwemo kupewa dili nono la mamilioni

Mbali na hilo Leonardo amegusia kuhusu tuzo za wachekeshaji zinazokwenda kufanyika hivi karibuni @tanzaniacomedyawards

Video nzima katika akaunti yetu ya youtube ya Bongo5

Written and edited by #abbrah255 Shot @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents