Fahamu
Live Rais Magufuli aongea kwa njia ya simu na Waziri Jafo – Uko wapi sasa hivi, kesho uje Mkuranga (+Video)
Rais Magufuli ameongea kwa njia ya simu na Waziri wa Tamisemi nchini Tanzania, Seleman Jaffo kuhusu matatizo ya Hospitali yaliyotolewa na Wananchi wa Mkuranga pamoja na matumizi milioni 400 yalivyotumika.