Habari
#LIVE: Rais Samia Suluhu anafanya ziara mkoani Mwanza muda huu (+Video)
Katika siku ya kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan atazindua Kiwanda cha Kusafisha Madini ya Dhahabu cha Mwanza, pia atafungua jengo la Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Kanda ya Ziwa.
Kuangalia Video bofya HAPA