Michezo
LIVE: Shabalala ‘Tupo tayari’

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara Simba SC wamesema kuwa wapo tayari kwa vita dhidi ya RS Berkane hapo kesho Machi 13, 2022 siku ya Jumapili katika uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kuangalia video bofya Hapa