Bongo5 ExclusivesBurudaniDiamond PlatnumzHabariMahojiano

Lukamba: Diamond amezungukwa na watu wanafiki sana

Kwa mara ya kwanza @lukambaofficial ameweka wazi kilichomuondoa kwa @diamondplatnumz na kuamua kufungua kampuni yake ya @imagixmedia_tz

Akiongea na @el_mando_tz @lukambaofficial ameeleza kuwa watu wanaomzunguka @diamondplatnumz ni wanafiki sana kwani wanajifanya wanamjua @diamondplatnumz zaidi kuliko familia zao.

@lukambaofficial ameongea yote kuhusu maisha aliyokuwa akiishi wakati anafanya kazi na @diamondplatnumz na maisha baada ya kuacha kufanya kazi na @diamondplatnumz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents