Lukamba: Harmonize hakunisalimia Airport, natamani tuwe sawa
Lukamba ameeleza kutamani kufanya kazi na @officialalikiba kwa kumpiga picha baada ya kuanza kufanya kazi na vijana wake akina @k2ga_tz
Ameongeza kuwa anatamni kuwa na sawa na kila mtu maana zamani kuna sehemu ilikuwa ngumu kuzifikia wakati anafanya kazi na @diamondplatnumz
Mbali na @officialalikiba pia ana Wish siku moha kufanya kazi pia na @harmonize_tz maana ni muda sana kuonana naye na hata kuongea naye baada ya @harmonize_tz kuondoka WCB.
@lukambaofficial ameongelea kukerwa na Watangazaji wa Wasafi FM @jumalokole20 na @idriskitaa akidai wanamuongelea vibaya kwenye kipindi licha ya yeye kuondoka kwa @diamondplatnumz haliyakuwa mawasiliano yake na @diamondplatnumz yako vizuri.
“Kuna siku tulikuwa tunasafiri tukakutana na Harmonize uwanja wa Ndege hakunisalimia sikujua kwanini”