Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Lukamba sio mpiga picha tena ni msanii
Kwa sasa ukitaja orodha ya wasanii chipukizi wa Bongo Fleva huwezi kuacha kumtaja aliyekuwa mpiga picha wa @diamondplatnumz @lukambaofficial
Kwa sasa ameingia kwenye tasnia hiyo rasmi baada ya kuamua kutoa ngoma moja na kusema kuwaonba Watanzania wampokee kwenye muziki.
Hii ni jana kwenye maonyesho ya Sabasaba ambapo alikuwa kwenye bando la MEET YOUR STAR lililoandaliwa na @zamaradimketema
Hapa kuna @officialshilole @dullamakabila @mkaliwenuoriginal @zamaradimketema na wengine.