Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Lukamba: Walimwambia Diamond namloga asinifukuze kazi
Kwa mara ya kwanza @lukambaofficial ameweka wazi kilichomuondoa kwa @diamondplatnumz na kuamua kufungua kampuni yake ya @imagixmedia_tz
Akiongea na @el_mando_tz @lukambaofficial ameeleza kuwa watu wanaomzunguka @diamondplatnumz ni wanafiki sana kwani wanajifanya wanamjua @diamondplatnumz zaidi kuliko familia zao.
@lukambaofficial ameongea yote kuhusu maisha aliyokuwa akiishi wakati anafanya kazi na @diamondplatnumz na maisha baada ya kuacha kufanya kazi na @diamondplatnumz
“Watu walio karibu na Diamond walimwambia eti mimi namloga ili niwe nasafiri naye kwenye Ulaya na mataifa mbalimbali, hawakujua kama mimi nasafiri kikazi” aliongeza Lukamba