Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Madee aitumia siku ya wapendanao kutoa chakula kwa wenye uhitaji
Rapa mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva Hamad Ally alimaarufu kama @madeeali akiongozana na mtoto wake wamemaua kuifanya siku ya wapendanao isionekane ni siku ya wale waliopo kwenye mahusiano ya kimapenzi tu.
@madeeali ameitumia siku hiyo kutoa chakula kwa watu wenye uhitaji pamoja na kuwafariji.
@madeeali amezungumza haya kufuatilia kile alichoamua kufanya na kueleza nini kilimsukuma kufanya hivyo.